Me

Me
So happy

Tuesday, August 12, 2014

New, original Swahili Poem

Hello friends, I wrote this original poem about Prometheus in Swahili. For those who speak the language, enjoy!!
 
"Prometheus na Moto daima"
 
 
Kianzilishi (Prologue)


Nilimuona yeye wakati moja

-Miake iliopita-

Nilimsikia yeye

Alikuwa akilia

Alikuwa… akipiga unyende

Mwili wake

Ulifungwa kwa jiwe mbovu

Jiwe la damu, jiwe la uovu

-Tusiweze kusahau-

Alikuwa akilia kwa maana

Alikuwa akiota

Kuhusu jamii, alituota sisi,

Alidhani kuhusu alivyotupenda sisi,

Kwa hivyo, baba wetu

Mtukufu, mwenye hodari

 Aliiumwa ndege mkali

Moyo wake ulikulwa

Ngozi yake ilikatwa-

Ndege huo, huo ndege mwovu

Ulimuuma Prometheus

Kukata, kupasua

Damu yake ilimwagwa

-Alitufikiria sisi tu-

Damu yake ilipotea

-Alitufikiria sisi tu-

Prometheus Alitupa sisi kila kitu

Kwa hivyo, nitawaambia hadithi hii

Hadithi hii ni kweli,

Nitakavyowaambia hadithi

Ni ilivyotukiwa.

Hadithi hii: Prometheus na moto wa daima.

 

Kianza cha kwanza

 

Kabla ya wakati ulipozaliwa

Kabla ya kitu cha kwanza,

Kuna Miungu wa ugiriki,

Kabla ya kitu cha kwanza

-Kilidhani-

Kwamba kitaweza kuzaliwa

Hapo Zamani, wakati vitu havikutamani

Kwa urafiki na mapendo

Miungu hao ni viongozi wa

Dunia na Mbinguni

-Hapo zamani-

Kabla ya kitu cho chote kilipiga kelele,

Na Wakati huo huo,

Viongozi hao

Husherehekea, hukunywa mvinyo ya damu

Hucheza walipo mwili wa nyota

Lakini Zeus, baba wa miungu

Alihisi wasiwasi,

Alihisi peke yake,

Ijapokuwa alikuwa na miungu wengi,

Alihisi peke bado.

Zeus alidhani kwamba atazae maisha

Maisha makudumu

Maisha wataweza waisho,

Vitu kama taa ya daima

Taa ambazo zitamsaidia Zeus

Kulala tena.

 

Kwa hivyo, Zeus alizaa maisha mbalimbali

Wanyama wa wawitu,

Miti ya ajabu,

Maua mipendeza

-Nyota ya dunia-

Muhimu zaidi:

Watu wa jamii

Mawe ambao wataishi,

Ambao wataimba

Ambao watakucha Miungu hao

Watu walikuwa wakiishi kwa wakati ufupi

Kuishi, kufa tu,

Sayari, zilianguka.

Kwa hivyo, jamii walizaliwa

Siku ya muhimu hiyo.

 

Miaka mingi iliopita

Na Miungu wabovu husherehekea bado

Bustani salama kwa mbinguni

Ilikuwa ikihumea kuelekea

Mwezi, angani ya mwanga

Zeus alifurahia na mvinyo,

Alikunywa zabibu za damu

Alihisi daima, ajuba

…Hadi Siku moja…

Zeus aliwatazama watu wote –Na-

Aligundua kwamba,

-kama maua katika bustani ya kwanza –

Jamii walikuwa na heri

Maisha wafupi—walikuwa na heri

Waliishi wazima, lakini

Zeus ana mpango huu

Kwa hivyo aliondoka nyumbani yake

 (Katika mbinguni)

Alifika yupo dunia kama paka mkali,

Halafu akakimbea kuelekea vijiji vya jamii

Alipofika watu nyumbani zao, akawachukua moto wao

Aliwaiba watu roho kwa mapafu na moyo wao

Halafu akarudi mbinguni kucheza, kulala salama

Lakini kabla ya atalala, alitia moto wao

Katika mfukoni (Gordian)

Kazi yake ni mwisho.

 

Prometheus alizaliwa Majitu (Titan),

Lakini aliishi kama Mungu

Badaa ya Prometheus alienda vitani

Kusaidia Miungu hao

-Vita hivyo vyenye damu-

Vilimtengeneza miungu shujaa

Prometheus alimuona Zeus aliwaua watu

-Yeye alimona Zeus aliwachakua moto wao-

Prometheus alihisi huzuni katika roho yake

Aliwaota kwamba watu wana maisha bora,

Alitaka kwamba watu wana maisha yo yote.

Kwa hivyo Prometheus alipata moto wa jamii

Basi aliondoka nyumba yake

Halafu nikafika dunia kama Miungu Majitu.

Alienda kwa mlango mmoja kuenda mlango ijayo

Alikuwa akiwaleta watu moto wo wote wao

Aliwaleta maisha wao tena

Watu hao husherehekea kila siku na

Kuliimba Prometheus jina yake,

Prometheus mwenye hodari,

Prometheus mapepo uzuri.

 

Hermes Alimuambia Zeus kuhusu moto maisha na

 Zeus alikuwa na hasira

 Zeus na familia yake walimchukua

Prometheus na alifunga mwili wake mgumu

 Kwa jiwe ya damu.

Jiwe ya uovu

Halafu,

Ndege kubwa akambiwa

Kwamba atamwume Prometheus,

 Kuchukua na kukula moyo hodari yake.

-Prometheus, baba wetu, baba wa asubuhi

Juu wetu, nyota wetu-

Prometheus hawezi kufa,

Kwa hivyo umia yake

Huendelea daima

Majeraha wake yalikuwa huponya.

 

Miezi zilipita hadi mnawake mmoja

Alimsikia Prometheus alia.

Prometheus alipiga kelele

Kwa umia yake.

 Siku moja, siku ya ajabu

Mnawake mwenye, mpendeza

Nywele yake kama mchana ya jua

Moyo wa hodari, moyo wa akili

Malaika wetu wa asubuhi

 Alikimbia kuelekea Prometheus

Wakati alimsikia Prometheus akihapa,

-Alia kwa Mbinguni za tupu-

Mnawake mpendeza, malaika wa asubuhi

Alimona ndege wa ouvu

Mdomo yake walikuwa wakitona na damu

Damu wa Prometheus mwenye hodari,

Malaika alishikilia panga warefu

Panga lenye simu,

(Halafu) Akamkata Ndege kichwa yake

Kichwa kikubwa kilianguka pole

-Kama wimbo ya mahaba-

Mnawake wa malaika alimchukua kichwa cha ndege

(Halafu) akamtupa kichwa hicho

Katika bahari ya hasira

Mnawake akampa Prometheus uhuru yake.

 

Prometheus na mnawake wa malaika

Walienda kuelekea vijiji wa jamii

Walipofika dunia, Prometheus aliwaambia watu wote

“Watu wazuri, kupigane na Miungu wa shetani na mimi!!

Wamemwaga damu yetu, sasa tutawamwaga Miungu damu yao!”

Watu wa jamii walipiga kelele na walisema

“Panga warefu wetu, damu nyekundu wetu

Ni yako sasa, Katika vita, katika kufa, tutapigana!”

 

Prometheus aliwaeleza mpango huu-

Kuwadanganya Kuwaua Miungu wa shetani

Kwa hivyo, Watu Wote walipiga kelele

Na Walisema, “Miungu wa shetani, kuje hapa sasa

Walipigane na Sisi!!”

Miungu walikuwa na hasira na akafika dunia

Na Panga wao warefu wa simu,

Miungu hao, wakali, Miungu wa vita

Walikuwa njaa kwa damu

Wakati huo huo

Prometheus alienda kama nyoka upesi

Kwa Moirai (The Fates) nyumbani wao

-Binti za usiku-

Nyumbani ya chafu

Ilijengwa ya buibui

Akachakua Miungu nyuzi za maisha

Na akaiba Atropos’ mkasi yake

-Wazazi wa wafu-

Na, akakata nyuzi hizo

Kwa hivyo, Miungu hao walianguka kama

Mvua la zito,

Katika kaburi ya dunia

Na Prometheus alichoma mbingu yote,

Mioto hiyo huchoma na ilikula

Hekalu za ajuba, ilikula

Nyumba nzuri za Miungu zao.

Watu wa jamii walikuwa viongozi vya mpya

Maisha mafupi na moto wa daima

Roho wa watu hawawezi kufa.

 
 
 
***Copyright 2014. Richard C. Morgan. All rights reserved. ***

 

No comments:

Post a Comment